Kama una rafiki, ndugu au mzazi asiyekuwa na bima ya afya tunaomba mushiriki ili tuwe na jamii inayoshamiri na yenye afya njema. Zoezi hili litachukuwa hatua ya kuwaona wale watakaokuwa na hali pungufu ya afya njema walau mara moja kwa mwezi.
MUNGU ANATUPENDA ZAIDI TUKIJILEA,TUKILELEANA NA HATA TUNAPOMALIZA SAFARI .!
Asanteni sana ,tunawapendeni na kuwajali.!
Comments
Post a Comment