Skip to main content

Posts

Showing posts from 2015

ZAIDI YA NUSU YA ASILI MIA 50 YA KINAMAMA WAJAA-WAZITO MKOANI TABORA, WAKIMBILIA KWA WAGANGA WA JADI

Source;

NesiWangu Show hosts Child Survival International.

Harriet Shangarai, Stella Mpanda and Tausi Suedi "Pregnancy is not an illness or disease" say Childbirth Survival International (CSI) Co-founders - Stella Mpanda, CNM and Tausi Suedi, MPH. It is estimated at least 800 women die every day due to pregnancy, childbirth, and post-childbirth complications, most of which are preventable. Mama Mpanda and Tausi Suedi have an informative discussion with Harriet Shangarai of Nesiwangu show  and leave no stone unturned as they passionately talked about the challenges, gaps, achievements, opportunities, and shared personal stories. This video will give you an in-depth picture of Childbirth Survival International, the amazing work the team is doing, and how you can partner to make a difference.  For more information, visit www.childbirthsurvivalinternational.com Attachments area Preview YouTube video NesiWangu Show hosts ChildBirth Survival International NesiWangu Show hosts ChildBirth Survival International

UZIMA ULIAZIMWA, TUNZA KWANI NI AZINA

Shinikizo la damu hutambulika kama ' Silent Killer' kutokana na ukosefu wa dalili japo maafa yaendelea taratibu.Wengi wenye tatizo hili huwa nalo hata miaka bila dalili na hivyo kutishia usalama wa maisha . Shinikizo la damu hutuweka katika hatari za stroke, heart attack,upofu wa macho pamoja na kudhofisha utendaji wa figo au kuuwa figo ambayo kazi yake kubwa ni kuchuja uchafu mwilini. CHATI HII YAASHIRIA VIPIMO VYA SHINIKIZO LA DAMU      Ili kugundua tatizo hili ni budi kupima. Ugunduzi na ufumbuzi wa mapema ni wa muhimu na hupunguza madhara yatokanayo na shinikizo la damu. Baadhi ya dalili chache pale tatizo hili linapozidia ni; maumivu ya kichwa,  kizunguzungu, kichefuchefu, uhafifu wa kuona, kupoteza uwezo wa kutambua kuzimia.  Pressure ya damu uhashiria kishindo cha damu katika ukuta wa mishipa ya damu mwilini. Kishindo hiki kinapokuwa kikubwa au juu kwa muda mrefu, kinasababisha mishipa ya damu kuwa hafifu. Uhafif

KIZAZI CHA DIASPORA KUWANIA NAFASI KATIKA CONGRESS

Will Jawando,mkewe Michell Jawando na watoto wao Alia,Addison and Ava Will Jawando ni mzaliwa wa Silver Spring,Maryland kwa familia ya Mwanadiaspora 'Jawando' kutoka Nigeria na Mama ambaye ni mwenyeji wa Marekani.  Will amepitia changamoto mbalimbali zilizo katika jamii na hata kumpoteza rakifi yake wa pekee katika shambulizi la risasi. Jambo hili lilimpelekea kukabidhi maisha yake katika utoaji huduma na utatuzi wa matatizo ya jamii na kuweka jitihada katika elimu . Will Jawando alihitimu elimu ya juu na shahada ya Sheria, ambapo aliendelea na utoaji huduma kwa jamii katika ngazi tofauti hususani; Legislative Staffs House of Democratic chini ya uongozi wa Nancy Pelosi,US- Senator Barack Obama na ngazi nyingine mbalimbali. Kama Mwanadiaspora ninayetambua changamoto za huduma ya afya kwa wasio na vibali vya kuishi nchini ,Will Jawando alinigusa zaidi pale aliponieleza kuhusu baadhi ya changamoto za wahamiaji akisema kuwa, mbali na ukosefu wa hati halali , wahamiaji

Help for Underserved Communites (HUC) Waomba mchango wako

Bofya hapa   https://www.gofundme.com/duar96hs "Give a Gift of Education" Please help us in the quest to Empower Rural and Underserved Communities in Tanzania. This year we got a special request from Steven Kibona Secondary School and Kalembo Primary School Located in Ileje District, Mbeya Region in Tanzania (East Africa). These schools need Textbooks to ensure their students are able to get the education they deserve. We are working hard to make this request a success, but we cannot do it without your help. Anything you can give will be so helpful, more than you can imagine. HUC is a 501(c)(3) non-profit organization, your contribution will be tax deductable to extend allowed by USA Law.  Nelson Mandela said " Education Is The Most Powerful Weapon Which You Can Use To Change The World".  From HUC Board Members we thank you! "Everyone Deserves a Better Life"  http://myhuc.org/

PATA ELIMU NA UCHUNGUZI WA AFYA YA TEZI DUME

KUPATA HUDUMA HII ENEO LA DMV KWA ASIYE NA BIMA YA AFYA CALL 240 672 1788 Tezi Dume, ni tezi yenye  umbile la donati iliyoko chini ya kibofu cha mkojo.Tezi hii huzungukwa na  mirija  ya mkojo na uhusika na urutubishaji wa mbegu za kiume (semen). Mabadiliko ya kimaumbile katika tezi ya prostate kama uvimbe,ongezeko la ukubwa au kushamiri kwa saratani, hupelekea hitilafu katika mfumo wa mkojo kwa kufinya mrija wa mkojo na hivyo mkojo kupita kwa shida,hukwama au kuacha mabaki.Hali hii humpelekea mgojwa uhitaji wa kutumia bafu mara kwa mara na hata kushindwa kuzia mkojo kuchuruzika. (Maumbile yote mwilini, yamekadiriwa kulingana na nafasi iliyoko, hivyo umbile linapoongezeka ukubwa, huleta hitilafu kwa mfumo mwingine). Saratani ya Prostate yaweza sambaa katika mifupa na tishu za jirani na hata kubana mishipa ya mgongo na kuleta maumivu sehemu za mgongo,hip na pelvic.  Yashauriwa kufanya uchunguzi wa afya ya tezi dume kuanzia “ miaka 45 kwa wale walio na historia ya saratani ya te

KONGAMANO LA UFUMBUZI WA TIBA YA SARATANI BARANI AFRICA

 Kongamano hilo linaloendelea sasa  nchini Morocco, limehuidhuriwa na wanasayansi wenye asili ya nchi mbalilmbali za ki-Africa ili kujadili mikakati itayowezesha kupambana na gojwa la saratani ambalo ni  tishio kubwa kwa jamii hasa katika nchi zinazoendelea.                             Mazungumzo hayo yaligusia uhaba wa mashine za mionzi barani Africa na elimu endelevu kwa wahudumu wa saratani,jambo ambalo litawezekana kwa njia ya technolojia ya mawasilino na   wanayasansi waliomo nje ya nchi. Nia ni kuboresha tiba na ufumbuzi wa changamoto za ugojwa wa saratani.   Majadiliano zaidi yalisisitizia umuhimu wa elimu ya utumiaji na utunzaji wa vifaa vya  mionzi , upatikanaji wa vifaa katika vituo vya tiba ya saratani na mikakati ya kuelimisha jamii katika kufuata ushauri wa daktari ili kuepusha saratani za aina mbali mbali kama saratani ya shingo ya kizazi kwa kutoa chanjo kwa watoto wa kike kuanzia umri wa miaka 11 au 12,  uvutaji wa sigara unaoongeza hatari za kupata sara

SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Kwa majonzi makubwa,tumepokea taarifa  za msiba wa dada yetu mpenzi, rafiki yetu,mhudumu wa taifa letu na aliyekuwa mgeni wetu wa kwanza kujitolea kupima Malaria na kuzungumzia huduma za afya katika kipindi cha NesiWangu na JENGA Tanzania,Malaria-Kit. Salamu za rambirambi TUNAOMBA ziwafikie ndugu, jamaa, marafiki na wote tulioguswa na maisha ya mdogo wetu mpenzi, dada Nyamiti Ivan Lusinde MWENYEZI MUNGU AKUPOKEE NA KUKUWEKA PEMA PEPONI DADA YETU NYAMI LUSINDE

Mh. Rais Magufuli Katika Uwanja wa Huduma za Afya

        ASANTE SAANA BABA! Shukrani Images  www.ippmedia.com Video/Source Unknown

CHILD SERVIVAL INTERNATIONAL (CSI)

Yaomba mchango wako wa Socks na Kofia kwa watoto wachanga! Kwa Maelezo Zaidi  piga simu; 240 672 1788 Shukrani;Image CSI

CATCH UP WITH THE LATEST CAREERS IN THE IT WORLD !

  Montgomery College's Leap Tech Program great pathway to the latest careers in the IT world .   take advantage of the opportunity particularly because scholarships are involved.  Visit;  http://www2.montgomerycollege. edu/departments/iti/techleap/ index.html  I nformation session scheduled for 11/23 from 10 am to 12 pm where questions will be answered. Please invite friends whom you think will be a perfect fit as the program is selective with individuals with a bachelors degree or IT background. Confirmation to attend is highly recommended FOR MORE INFO                                                                                      Call 240 672 1788,    240-688-7559 or  301-213-1972 anita.mwalui@ montgomerycollege.edu   or jean-yves.dalle@ montgomerycollege.edu or