Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2014

NEsiWangu Show- Home Malaria Kit

NesiWangu Show ni kipindi kinachokusudia kuongeza mwako katika uwanja wa Afya, upatikanaji wa huduma zake na elimu-afya kwa jamii. Katika kipindi hiki, tunazungumza na Mkurugenzi wa Jenga Tanzania Foundation, Nassor Basalama anayezungumzia kuhusu kipimo cha Malaria ambacho Jenga Tanzania Foundation inapanga kukisambaza bure kwa watu wa kipato cha chini nchini Tanzania. Karibu uungane nasi Attachments area Preview YouTube video NesiWangu Show. Malaria Kit NesiWangu Show. Malaria Kit

TIMU YA NesiWangu INA FURAHI KUWATAKIA HERI NA FANAKA ZA MWAKA MPYA.

Shukrani Image; coachwhittaker.wordpress.com

MSIMU WA MAFUA MAKALI MAREKANI

Hab ari kutoka  kituo cha kudhibiti magojwa nchini Marekani  “Center for Disease Control” ( CDC) 2014 -2015, inatufahamisha kuhusu kipindi cha mafua makali ( Severe FLU Season). Kipindi hiki kilichotawaliwa  zaidi na virusi vya A H3N2,hujulikana  kwa kuleta homa kali, ongezeko la  wagojwa mahospitalini na hata vifo. CDC inatukumbushia umuhimu wa kila mmoja kupata Chanjo  ya Flu na  tiba ya haraka ya kupamba na  virusi (Anti-viral drugs  treatment)  hasa kwa watu walio na kinga hafifu.  Anti-viral drugs husemekana kuwa mahiri zaidi kati ya masaa 48 baada ya dalili za flu kujitokeza mwilini . Mabadiliko ya virusi kimaumbile (genetic) huchangia kupunguza umahiri wa chanjo japo wengi  waliofanikiwa kupata chanjo huwa na maambukizi  afueni.   CDC imeongeza kusema, FLU ya kipindi hiki iliyotawaliwa na  Influenza A H3N2 ilitokea  miaka ya 2012-1213, 2007-2008 na 2003-2004  vipindi ambavyo viliongoza  kwa idadi ya vifo katika ya miaka 10 iliyopita. NINI DALILI  ZA FLU Kukohoa au kuk

NOT ONLY SHOULD WE PREPARE OUR CHILDREN FOR THE WORLD, BUT WE MUST PREPARE THE WORLD FOR OUR CHILDREN TO LIVE IN. FIGHT THE STIGMA, FIGHT THE DISEASE!

                                     With Sincere Thanks; Ambassador of  Elizabeth Glaser Pediatric Aids Foundation,Ms.'Fortunata  Kasege'

FORTUNATA KASEGE THE LIVING MOM WITH A MOVING STORY AND AN AMBASSADOR OF ELIZABETH GLASER PEDIATRIC AIDS FOUNDATION.

The Health of Moms and Babies By Fortunata Kasege | May 2, 2014   EGPAF Ambassador Fortunata Kasege is living with HIV, but she doesn’t let it stop her from embracing life and expanding her family. EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Ambassador Fortunata Kasege shared her journey with HIV and pregnancy with POZ Magazine on May 1, 2013.  You can read the original article here . I was only 22 years old when I learned I was living with HIV. The news was a devastating blow. I was a newlywed with a baby on the way and I had just immigrated to the United States from Tanzania to enroll in journalism school. I thought my life was just about to start, but suddenly, I felt like it was over. That was more than 17 years ago. I underwent a long and challenging journey, but today I am happy, healthy, and expecting my second child. When I was first diagnosed in 1997, I didn’t know that it was possible for someone living with HIV to have an HIV-negative child. Growi