Osteoporosis ni ugojwa sugu wa mwili kujitafunia virutubisho vilivyo kwenye mifupa na kuvitumia kwa mahitaji yake.Hii husababisha upungua wa umahiri wa mifupa(bone density) kuifanya iwe hafifu na kumegeka. Ugojwa huu huitwa “ silent disease’ kwani mara nyingi hujulikana tu pale mtu anapoanguka na kuvunjika (kwa urahisi sana au kupata fructure ) tofauti na mtu asiye na tatizo hili. UNDANI MDOGO KUHUSU OSTEOPEROSIS Mifupa ya mwili kwa wakati wote huwa na mabadiliko ya kujingeka, kujiimarisha na kujirepea (bone remodeling) kwa kupitia mzunguko maalaum wa kusagika (osteoclast) ambapo hutoa madini yake ya calcium katika mzunguko wa damu. Osteoperosis na upungufu wa umahiri wa mifupa (low bone mass)hutokea pale ambapo usagikaji wa mifupa (Osteoclast) uko juu zaidi ya ujengekaji wa mifupa (Osteoblast). Binadamu hufikia kilele cha ujenzi wa m
Community Health Innitiaves