Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2014

TIMU YA NesiWangu INATOA SHUKRANI ZA DHATI KWA KAZI KUBWA IFANYWAYO NA BAADHI YA MAKUNDI KATIKA JAMII!.

Shukrani; www.topeducationdegrees.org www.grandparents.com www.accessnorthga.com

WANAUME KUSHAURIWA KUTUMIA KINGA KWA MDA WA MIEZI 3 BAADA YA MAAMBUKIZI YA UGOJWA WA EBOLA

Ripoti ya shirika la afya duniani 'WHO'  yashauri utumiaji wa kinga wakati wa tendo la ndoa  kwa mda wa miezi 3 kwa wanaume baada ya maambukizi ya Ebola.  shukrani; WHO page www.dezeen.com

UNAKARIBISHWA KATIKA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA EBOLA

                     Montgomery County's African Affairs Advisory Group in Partnership with The Coalition Against Ebola Invites you to a Conference Ebola: Get Informed, Get Involved Tuesday, November 25, from 6PM-8:30PM Silver Spring Civic Building 1 Veterans Pl. Silver Spring, MD 20910 Expert Panel discussions on Needs and Challenges, State Efforts in Countering Stigma,      Behavioral Health and Psycho-Social Impact within the African Community, and Support Services Available . Breakout Sessions on Good Donation Practices and Fund-raising Guidelines, Stigma, REBOUND (Short term focus and long term investment strategies and economic development). For more information please contact Josephine Garnem │ jgarnem@gmail.com │  310.666.3375 Linda Aldridge │ linda.aldredge@gmail.com │ 443.333.8771

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA

WAGONJWA WA MALARIA WAPIMWA KWA MACHO !.

BY BEATRICE SHAYO 9th November 2014 Email Print Ukosefu wa vifaa tiba katika baadhi ya zahanati na vituo vya afya vya Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, umewalazimu wauguzi wa vituo hivyo kuwatibu wagonjwa wa malaria kwa kutumia uzoefu wa kuwaangalia. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika zahanati ya Mtepeche kata ya Kilimani Hewa, tarafa ya Nambambo na zahanati ya Kihuwe kata ya Naipingo, tarafa ya Naipanga wilaya ya Nachingwea, umebaini kuwepo kwa tatizo hilo. Waganga wa zahanati hizo, walisema kukosekana kwa vipimo vya kupimia ugonjwa wa malaria kunawalazimu kutibia wagonjwa kwa kutumia uzoefu wa kuwaangalia kwa macho. Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Mtepeche, Ibrahimu Mpini, alisema hutumia uzoefu kwa kumwaangalia mgonjwa kwa macho na kumpatia huduma. Alisema njia hiyo ni hatari kwa kuwa unaweza kutoa dawa za malaria wakati mgonjwa ana tatizo hilo. Alisema ukosefu wa vipimo ni changamoto ka

DAWA BANDIA ZINAANGAMIZA, WANANCHI WAFUNZWE KUZITAMBUA

BY GAUDENSIA MNGUMI 8th November 2014 Email Print Biashara ya dawa feki au bandia ni  moja ya uwekezaji haramu lakini unawapa wahusika utajiri mwingi licha ya kwamba inaweza kuwa chanzo kikubwa cha  maangamizi na mauaji duniani. Athari za biashara hii  ni nyingi lakini inasababisha usugu kwa maradhi na vifo na kuhujumu afya ya mtumiaji kwa kuwa anatumia fedha lakini haponi na matokeo yake ni kifo. MADHARA Matokeo mabaya katika eneo hili ni kutumia dawa lakini isiyokupa tiba hali inayojulikana  kitaalamu  kama Therapeutic failure. Hali hii inatokea kwa sababu dawa zinashindwa kutimiza lengo la tiba kutokana na ama kuwa na kiasi kidogo cha dozi kilichomo ndani yake au hakuna dawa inayokusudiwa kuua vimelea vya maradhi yanayomsumbua mhusika licha ya kwamba anatumia dawa hizo. Kwa ujumla dawa hizi bandia zikitumika zinashindwa kuleta tiba au kumponyesha mgonjwa kunasababisha pengine aache au kusimamisha matumizi ya dawa hiyo na

PATA HUDUMA YA MENO 50% OFF!

KAMATI YA AFYA YA WATANZANIA DMV, YAWALETEA HUDUMA YA AFYA YA MENO KUTOKA KWA MWANADIASPORA MTANZANIA AMBAYE NI MMILIKI WA AVATAR DENTAL CLINIC " DR. TAALIB ALI" DR. TAALIB NI MWANADIASPORA ALIYEGUSWA KUSAIDIA JAMII ZA WAHAMIAJI KUPATA HUDUMA YA MENO KWA BEI NAFUU. DR. TAALIB  AMEAHIDI KUTOA HUDUMA HII 50% OFF KWA KILA MTANZANIA        Dr.Taalib katika jengo la Avatar Dental Clinic Dr.Taalib na muhudumu wa Avatar Dental Clinic Avatar Dental Clinic hutoa huduma hata kwa watoto                                                            Machine ya X-ray na ya  kuua vijidudu                                                                                                Dr. Taalib akiwa Kazini KARIBUNI NYOTE UONGOZI DMV ASANTE SANA 545 G. East Market Street Leesburg, VA 20176 703-669-8600 Shukrani;Images Avatar Dental Care ATC Metro DC.