UKOSEFU WA USINGIZI MWORORO WAWEZA KUKULETEA MADHARA YAFUATAYO;
- Msongo wa mawazo (Depression)
- Ongezeko la mwili
- Upungufu wa msukumo wa tendo la ndoa
- Hasira
- Usahaulifu
- Ugumu wa ufanisi wa kazi ( poor concentration at work or school)
- Kuzeeka kwa ngozi kabla ya mda wake
- Ongezeko la ajali
- Kukuweka hatarini zaidi kupata magojwa ya moyo, shinikizo la damu,kisukari,stroke na hata kifo cha ghafla
NAMNA YA KUONGEZA USINGIZI MWORORO
- Weka ratiba maalum ya kwenda kulala na kuamka kila siku
- Pata mazoezi ya mwili walau dakika 30 mara 4 hadi 5 kwa wiki
- Epuka mlo mkubwa kabla ya kwenda kulala.
- Epuka caffaine na Pombe mda unaokaribia saa za kulala
- Epuka sigara au nicotine.
- Hakikisha chumba kina mazingira ya ukimya na yasiyo na mwanga
Shukrani,
atlantablackstar.com ,http://sleepfoundation.org/
Institute of Medicine. Sleep Disorders and Sleep Deprivation.
Comments
Post a Comment