NesiWangu-Show Inawaletea sehemu ya kwanza ya mazungumzo na mwanaharakati Bi "Daisy Makwaiya" mwenye shirika la Albino Charity.org ikifwatiwa na Sehemu ya pili ya --
Mazungumzo na Mwanaharakati "Babu Sikare" mTanzania mwenye Albinism na mwanzilishi wa shirika la Afrobino.org wote wako mstari wa mbele ktk utoaji wa huduma msingi kwa jamii ya watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi nchini Tanzania.
Shukrani za dhati;
Kwanza Production (KP)
Comments
Post a Comment