Katika sehemu hii ya pili, Harriet Shangarai wa NesiWangu Media anazungumza na mwanaharakati mwenye Albinism Babu Sikare kuhusu maisha yake na shirika lake la 'Afrobino' la kupambana na changamoto inazowaguwasa walemavu wa ngozi katika nchi zinazoendelea.
Comments
Post a Comment