Skip to main content

Posts

ISAIAH WASHINGTON ATUA DMV KUSHEHEREKEA SEIRRA LEONE FREE OF EBOLA!

Mwigizaji maarufu wa Television Series, Grays Anatomy 'Isaiah Washington' alishiriki  katika misa ya kutoa shukrani na kusheherekea rasmi tamko lililotolewa na  Shirika la Afya Duniani WHO, tarehe 7/11/2015  'Sierra Leone, Ebola- Free' .Misa hiyo iliyofanyikia katika Kanisa la  City of Light, Randolph Rd. Silver Spring, MD  na  ilijumuisha  Balozi wa Sierra Leone nchini Marekani,  H.E Bockari Stevens, Wajane walipoteza waume zao  miongoni wakiwa madaktari walioenda katika mapambano ya Ebola. Mayatima,Ndugu na Marafiki. Waumini wengi walishiriki wakiwemo  Wanadiaspora waliojitoa katika usafirishaji wa vyombo vya hospitali,ambulances,vyakula,fedha, pamoja na timu kuu ya wanadiaspora iliyohusika na mapambano dhidi  ya Ebola  Isaiah Washington ni mzaliwa wa Marekani,aliyegundulika kuwa  na mizizi ( DNA) kutoka Siera Leonne. Historia hiyo, ilimplekea mapenzi makubwa na nchi hiyo hadi kuchukuwa Passport  rasmi na kushiri...

SIERRA LEONE, EBOLA - FREE !

Tarehe 7/11/2015, Shirika la Afya Duniani  “WHO”  lilitangaza ushindi katika uthibiti wa maambukizi ya Ebola nchini Sierra Leone. Tamko hilo lilifuata baada ya siku 42 kupita, pasipo na tokeo la maambukizi ya ugojwa wa Ebola nchini Sierra Leone. Mgojwa wa mwisho kunusurika na Ugojwa huo ni 'Mama Adama Sankof'(katikati) ambaye alipata maambukizi hayo wakati akimlea mwanae wa umri wa miaka 23 aliepoteza uhai. WANANCHI WAKISHEHEREKEA MAFANIKIO KATIKA KUTHIBITI MAAMBUKIZI  YA EBOLA SIERRA LEONE HATUA  MUHIMU  ZIKIENDELEA KATIKA UTHIBITI WA MAAMBUKIZI YA EBOLA. WANANCHI WAKIOSHA MIKONO KWA SABANU NA BLEACH Shukrani za dhati kwa wauguzi ,wanavijiji,viongozi,mashirika mbali mbali, wanadiaspora,nchi za mbali na za jirani,vyombo vya habari na wale wote waliopoteza wapendwa wao  kwa ajili ya kuokoa maisha.

Attention Students!

HBCU Students! This spring and summer, The Washington Center is offering paid federal internship opportunities with the: Federal Aviation Administration Department of Veterans Affairs Consumer Financial Protection Bureau Department of Health and Human Services National Archives and Records Administration and other sites! Application Requirements: U.S. Citizenship (no exceptions) 3.0 GPA Be enrolled in an undergraduate or graduate program Strong interest in federal employment November 18, 2015 deadline for spring semester January 15, 2016 deadline for summer term The Washington Center provides students with housing and supplemental programming activities. There are no application or program fees for the Federal Diversity Internship Initiative!                    VISIT:  http://www.twc.edu/campaign/hbcu

Help Our Sisters to Open Up this Dispensary !.

SPECIAL REQUEST We the Sisters of Our Lady Queen of Africa  are looking for your support to render health services at Iwambi within Mbeya City which has a population of over 5,000. Currently, there is only one small dispensary located in Nzovwe which is struggling to meet the needs of this growing community. We have successfully completed  the building phase and we have managed to obtain Dispensary equipment from the people of good will. Our main problem is to get funds for  transportation of  those equipment from America to Dar es salaam Tanzania. We therefore request good Samaritans to assist us in this regard and we  will be very grateful for any  support which will be extended to us.         For more Information.  Tel # 240 672 1788 Email:  NesiWangublog@gmail.com   Below are few pictures of the Dispensary ASAN...

FREE afternoon of family fun.

FREE afternoon of family fun.    When: Sunday, Oct. 18,2015   Time:12 noon to 5:00 pm   Location:Montgomery College Rockville Campus For More info click ; http://worldofmontgomery.com/ Come and bring your children, let them experience what it means to be a 21st century global citizen. A   wonderful afternoon of culture, entertainment, food, and crafts from around the world. 

THE AFRICAN AMERICAN HEALTH PROGRAM PRESENTS;

Diabetes Education,  Culture & Health Eating When:Saturday October 10, 2015 Where:White Oak Library (basement)    11701 New Hampshire Ave, Silver Spring,  MD 20904  Time:  11 am to 1 pm Light Refreshments will be served. Image; atlantablackstar.com

JE WAFAHAMU NAMNA YA KUFANYA UCHUNGUZI BINAFSI WA MATITI

Breast Self-Exam (BSE)   Uchunguzi Binafsi wa Matiti ni Uchunguzi unaotuwezesha kutambuwa umbile la kawaida la titi na hivyo kutupelekea kutambua mabadiliko endapo yatatokea. Ushauri wa Jamii ya Utafiti wa saratani ya matiti nchini Marekani washauri wanawake kufanya uchunguzi binafsi wa matiti kuanzia umri wa miaka 20. Uchunguzi wa litaalamu wa Mammogram mara moja mwaka washauriwa kwa Wanawake kuanzia umri wa miaka 40.  Si ajabu kwa matiti mawili kutofautiana kimaumbile, tofauti tunayozungumzia hapa ni ile yenye kuleta mabadiliko upande mmoja, bila mabadiliko hayo kuonekana upande wa pili. Yashauriwa kufanya Uchunguzi Binafsi wa Matiti kila mwezi kati ya siku 3 hadi 5 baada ya kumaliza siku mwezi. RIPOTI DALILI ZIFUATAZO KWA DAKTARI   Titi lenye wekundu, mpauko au mchubuko Uororo usiowiana Ngozi iliyokunjamana Ngozi yenye unyeleo (pores) kama ganda la chungwa Kudidimia kwa chuchu Maumivu Vipele Muwasho ...