Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2014

WACHEZAJI CINEMA MAARUFU AFRICA;JOHN DUMELO NA MAJID MICHAEL, WAUNGANA NA WANADMV KATIKA MAPAMBANO YA EBOLA !.

         FRIDAY,OCT 3,2014 7PM-11PM 8656 Colesville Rd,Silver Spring,MD 20910 SHUKRANI radiomidas.com Montgomerycounty

PATA HUDUMA YA MENO 50% OFF !

KAMATI YA AFYA YA WATANZANIA DMV, YAWALETEA HUDUMA YA AFYA YA MENO KUTOKA KWA MWANADIASPORA MTANZANIA AMBAYE NI MMLIKI WA AVATAR DENTAL CLINIC " DR. TAALIB ALI" DR. TAALIB, NI MIONGONI MWA WANADIASPORA ALIYOGUSWA KUSAIDIA JAMII ZA WAHAMIAJI KUPATA HUDUMA YA MENO KWA BEI NAFUU. DR. TAALIB  AMEAHIDI KUTOA HUDUMA HII 50% OFF KWA KILA MTANZANIA        Dr.Taalib katika jengo la Avatar Dental Clinic Dr.Taalib na muhudumu wa Avatar Dental Clinic Avatar Dental Clinic hutoa huduma hata kwa watoto                                                            Machine ya X-ray na ya  kuuwa vijidudu                                                                                                 Dr. Taalib akiwa Kazini KARIBUNI NYOTE UONGOZI DMV ASANTE SANA 545 G. East Market Street Leesburg, VA 20176 703-669-8600 Shukrani;Images Avatar Dental Care ATC Metro DC.

JE YAWEZEKANA KWA MWANAUME KUPATA DEPRESSION ?

Mwanaume hutambulika kama shujaa katika uso wa jamii. Hutegemewa kuonyesha ujasiri wakati wote na hata kuficha hisia za ndani ili asiwe pungufu katika jamii inayomzunguka. Ripoti ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Kiakili nchini Marekani 'NIMH', imedhihirisha kuwa  wanaume wengi huficha hisia zao za ndani kitu ambacho ni tofauti kubwa  na wanawake. Utafiti huo ulioanza 2003, umesema kuwa zaidi ya wanaume millioni sita hupata hisia sugu za huzuni au Depression kila mwaka. Depression  ni hali ya hisia  sugu za huzuni wenye uwezo wa kudhoofisha  afya ya kisaikolojia unaombatana na dalili zifuatazo ; Msongo wa mawazo K ukata tamaa au kupoteza matumaini   Ugumu wa kushiriki  shughuli za kila siku kama usafi wa mwili,mavazi na mazingira,  Ukosefu wa usingizi Hasira za ghafla Kutoshiriki mazungumzo au eneo lenye watu Kupoteza ladha ya chakula au  ongezeko la mlo  BAADHI YA DALILI ZA DEPRESSION KWA WANAUME Hasira Ugumu wa kushiriki tendo

UVUTAJI SIGARA HAUNA TOFAUTI NA UNYWAJI SUMU WA TARATIBU !.

        MAPAFU YA  ASIYEVUTA SIGARA                                 NA                                          MVUTA SIGARA     Uvutaji wa sigara na mazingira yaliyokuwa na moshi wa sigara ( second hand smoke) hujulikana kwa  maafa yake ya husababisha magonjwa sugu ya mapafu yajulikanayo kama  ‘Chronic Obstructive Pulmonary Diseases” (COPD) yakiwemo pumu, kifua kikuu na …?(emphysema). Magonjwa haya uhashiriwa na upungufu wa umahiri wa ubadilishaji wa hewa katika mapafu; ugumu wa kutoa  hewa chafu ya carbon katika mapafu  na uchukuaji wa hewa oxygen. Hii hujitokeza pale mgonjwa anapojihisi ugumu wa kuvuta hewa hasa wakati wa shughuli au mazoezi. Mbali na magojwa sugu ya mapafu,uvutaji wa sigara watupelekea saratani za aina mabalimbali kama :- Saratani ya mapafu Saratani ya njia ya chakula (umio au esophagus)  Utumbo,  Njia ya kutolea uchafu mwilini, Ini,figo na njia ya mkojo  Kigosho, tumbo na  koromeo. Uvutaji wa sigara waweza kupunguza uwezo wa

FURSA YA KUINGIA KWENYE UWANJA WA AFYA KWA ALIYESOMA NJE YA NCHI.

          TAFADHALI JIANDIKISHE KABLA YA TAREHE 09/12/2014.

MHE. RAIS OBAMA AONGEA NA NCHI ZA AFRICA KUHUSU UGOJWA WA EBOLA .

Shukrani; http://abcnews.go.com/blogs/health/2014/09/02/obama-video-speaks-to-africans-about-ebola-outbreak/